Tangazo.com

Wednesday, December 11, 2013

TOP 5 YA VICHEKESHO VYA VUNJA MBAVU HIVI HAPA...SOMA UCHEKE HADI BASII NI NOMAAA.


  • Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwa ajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani muhudumu akaja,kaka nikuhudumie nini, tafadhali:NILETEE MENU LIST: dada na wewe,dada akajibu kwa pozi tena kwakujishaua,"NA MIMI NILETEE MENU LIST ILA CHUMVI WEKA KWA MBAAAAALI!
  • Hii Ni Kweli Ilitokea mitaa Fulani..na hata Ukicheki Sikuhizi wanaume huwa wanaendesha hovyo sana wanapoona wanawake wazuri/warembo mbele yao..
  • Ukikutana na Mwanamke mtata na ukamfanyia Upuuzi au Masihara Lazima Ujute maana Utapigwa Mangeu kama Huyu jamaa hapo chini... ni shidaaa



  • Ukitaka kujua mwanamke sio ndugu yako soma hii hapa upate undani. Jamaa karudi toka job mpole!
MKE: vipi leo mbona mapema na mpole?
MUME: ofisi yetu imeungua na watu wote wamekufa,
MKE: ilikuwaje wewe ukapona?
MUME: nilikuwa chooni, jirani na ofisi najisaidia.
MKE: Loh masikini familia zao itakuwaje?
MUME: watalipwa milioni 100 kila mfiwa.
MKE KWA HASIRA: ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela..ungeenda kunya akhera......
Ungekuwa Mwanaume Ungejibu Vip ?

  • DOGO KAULIZWA SWALI NA BABA YAKE Huku kaweka Sura ya Tabasamu...akajibu Ujinga....BABA alipogeuka na KUKAZA sura DOGO akarekebisha Kauli Ili yasimpate Mabaya...Nomaa Sana.. WAzazi Inabidi Kuwa Wakali Mara Nyingne...

0 comments:

Post a Comment